Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

A short story

Wa kishua hamtaelewa ....
IMG_20220525_163950_553.jpg
IMG_20220525_163953_938.jpg
IMG_20220525_163956_442.jpg
IMG_20220525_164004_233.jpg
 
Endelea kuupiga mwingi mama
View attachment 2238838
Ni kweli. Mfumuko wa bei kwa zaidi ya 40% kwa bidhaa ndani ya mwaka mmoja ni jambo kubwa la aibu alilolifanya kuliko wanaume.

Ream ziliuzwa 40k_50k kwasasa zinauzwa 90k. Mafuta ya kupikia yaliuzwa 4k kwa kila lita na sasa ni 7k hadi 8k kwa baadhi ya maeneo.

Anyway, tulimsifia anatukimbiza na sasa ameamua kupitiliza hata kwake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom