Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Sijui anaimba wimbo gani 











Ha! Sio mzoga huo
Mbona tutakoma! Sio kwa mpuyango huo!
Eh! Anakuja kuzaliwa mtoto na huelewi anafanana na nani, unaenda kwenye DNA unaambiwa ni wako huku akili haitaki kukubali
ndio utaamini uchawi kweli upoDah! Mwaka wetu huu! Tuwe wavumilivu tu jamani kama kile kipindi chao cha manji
Ww mzee ujui yolly yolly#KuchapiwaHakuepukiki
Hata Yolly Yolly mwangalie sana maana mabaharia siyo watu wazuri!
nimemfungia GPS 

Haitasaidia cho chote akiamua!Ww mzee ujui yolly yollynimemfungia GPS
![]()


