TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,893
- 8,483
Mabaaria wameruka nae kama njiwa



Mabaaria wameruka nae kama njiwa



Ukianza kusikia harufu ya mishkaki ujue umeiva
au bosheniYale yale ya askofu
Mhanga mzoefu
Apewe kiwanja na nyumba bukoba na bodaboda ya kufukuzia ndege maana najaliwa mara ya mwisho nimemuona bungeni dodoma
Kwema sana mkuu. Sasahivi itakuwa ikitokea janga watu wanashughulika kwelikweliNimeanza kutembelea kando kando ya ziwa Victoria karibia na uwanja wa ndege wa mwanza
Kwema lakini mkuu


Huyu ndugu kaja kubadilika ghafla mpaka hafai tena
Introverts wana safari ngum sana kwenye mapenzTotally me!
. Sababu ya kushindwa kuflirt tunajikuta tunakuwa na watu ambao sio machaguo yetuMlango ulivunjwa, haukufunguliwa!Wamuache shujaa wetu Majaliwa maana figisu zimeanza na mjadala soon si ajabu utahamia kwa hawa air hostess.
View attachment 2413985
Manyaunyau ange kunywa damu yake mpaka akaibakiza kiporo
Jamaa anatembeza libolo tuu sasa