Hivi watakua wanaendelea na show off kweli yale mazozi ya utayari !!? Waache huu mwaka upite
Kazoea masamaki kule ngoja akale pizza nayeye
https://www.jamiiforums.com/threads/uvccm-katika-ubora-wao.2037840/
🤣🤣🤣🤣 Dah
Kikubwa uzimaNipo mkuu. Hekaheka kidogo ila zimepita salama!

Machozi huenda na maji...(By Remmy Ongalla)Kilio cha samaki
Shida kubwa zaidi ni hayo mafuta yanayotumika kukaangia hizo chips. Ni yale yale tena na tena mpaka yanakuwa meusi tii. Haya hayakawii kusababisha mrundikano wa lehemu na kuziba mishipa ya damu.
Hata aibu hakuna



Tunarudi kwenye ule msemo wetu..better to be born lucky than gifted.Kuna wanaume wana bahati
mzabzab kama ni wewe bahati kama hii ungeichukuliaje?
View attachment 2409928


