zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,077
- 26,002
hahaahahha nimecheka sana
hahaahahha nimecheka sana
Father of the year award goes to...
We jamaa humu sio Facebook pakuji-post postmsukuma akipiga picha akiwa mjini View attachment 2384189
unapojua kaylnda itakutapeli Google chrome View attachment 2384168
Nikimuona tu hivyo napita na miaKijana wa kisasa..View attachment 2384924
Mungu anawaonaOya...sio poahilo jibu lazima asandee!

Dah aisee!!Huyu ni mwanaume aisee kamaliza tumaini UniversityView attachment 2385034
Ndiyo ile kwamba kama unatumia mkono wa kushoto kupigia nieto siku ukitumia wa kulia unajiona kama umechepuka.Hapo inategemea mkono upi ndio unatumia mara kwa mara na una control nao nzuri
Japo nilimsikia katibu anasema by default ni mkono wa kulia, huo mkono wa kushoto ni endapo unaamua kuswitch kwenda sim2![]()
Sema kimeumanaaaa!!!¡!
Naua mtu
Wajinga bado wapo wapo.sana, yaani jamaa wamechukuliwa hela kiboya sana,ukiwa mtu wa kujiuliza sana huwezi kupigwa kirahisi namna hii.