The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Alafu huu ni uwongo. Nyeto tunapigaga na mkono wa kushoto bwana sio wa kulia
Hakikisha unagegedana angalau mara tatu kwa wiki[emoji2827][emoji1545][emoji1752]View attachment 2384284
Oya...sio poa[emoji16][emoji16]hilo jibu lazima asandee![emoji848][emoji848]View attachment 2384422
Hapo inategemea mkono upi ndio unatumia mara kwa mara na una control nao nzuri[emoji16][emoji16]Alafu huu ni uwongo. Nyeto tunapigaga na mkono wa kushoto bwana sio wa kulia
Ya laki nne...maana yake utumie laki tatu yote ukakope laki mojaHatarii
Safi sana kijana. Umetoka mbali na mama yako
Huyo l@liyenyi itakuwa kaliwa tu[emoji16]Pengine yeye alijiwahi mapema pale mwanzo mwanzo akapiga hela za kutosha. Nilimuona mahali akisema kuwa aliingia tangu June so bila shaka hajatapeliwa. Akili mtu wangu....
Kwenye hizi pyramid schemes ingia mapema uwe huko juu. Ukisubiri mpaka mzunguko wa pesa umekuwa mkubwa pyramid inaelemewa inaporomoka jamaa wanasepa mnabakia kulalamika tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Kibongobongo hawana haki hao wanyama Acha vife tuMnaweka vibaya nguo zenu
Sijaelewa hapa,nini hiki Doctor