Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,986
- 48,480
😂😂Hayanaga mwongozo 😁😁😁
😂😂Hayanaga mwongozo 😁😁😁
😂😂😂Mkuu..nimekosa Mimi,nimekosa Mimi,nimekosa Sana🙏
Sitarudia tena kumwita kyuti😄
Kweli eeh? Una namba yake?
Kwisha kazi HAKUNA KUOA HAPA

View attachment 2379094Shimba ya Buyenze njoo usikie huku 😂😂😂Hadi leo hawajaja tu kutoa mahali?? Kalaghabaho 😅
Mpwa naiomba ile barua uliyomwandikia kama bado unayo. Kuna mtu anaihitaji hapa. Anataka niipeleke pamoja na kuku mweusi na maziwa ya kakakuona!Shimba ya Buyenze njoo usikie huku 😂😂😂
Madelu anakaba mpaka penati yaani. Kazi ipo!Serikali sikivu imewasikia.Na hili muende mkalitizame View attachment 2379117
Kwa roho nzuri ipi?Sio lazima wote tutesekeView attachment 2379116
😂😂😂😂 Mpwa kakakuona tutampata kweliMpwa naiomba ile barua uliyomwandikia kama bado unayo. Kuna mtu anaihitaji hapa. Anataka niipeleke pamoja na kuku mweusi na maziwa ya kakakuona!
Daktari hana chake! 💪💪💪
Kuna mama wa Kisomali hapa kasema hayo maziwa ya kakakuona anayo. Kesho ndo naenda kumuona. Vita ni vita mura ohoo!😂😂😂😂 Mpwa kakakuona tutampata kweli
Kosa la kiufundi.
Kweli ni kosa kubwaKosa la kiufundi.
Kwa nini ukalale kwa mkewa mtu?
Basi hapo lake oil hapafai kuomba kazi

Kosa kwanza ni kutaka kulala na mke wa mtu. Wanawake sijui bilioni 4+ wote umekosa mpaka ukadandie mke wa mtu? Uboya wa kupindukia!Kweli ni kosa kubwa