Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Dokta anataka kusababisha ughairi kuleta ng'ombe😂😂😂
Tunahitaji kuona namna huo mmea unavyoangalia Nje wakati wa jua Kali la kiangazi
Nitamshughulikia kimila we mwache tu. Atakuwa haioni hiyo stethoscope shingoni mwake!Dokta anataka kusababisha ughairi kuleta ng'ombe![]()
😂😂😂Msamehe mpwa harudii TenaNitamshughulikia kimila we mwache tu. Atakuwa haioni hiyo stethoscope shingoni mwake!
Hujambo lakini mpwa?
Huku Misungwi tuko salama mpwa. Nishamsamehe ila kila nikisoma ile barua yako na jinsi anavyoendelea kujibebisha hasira zinanipanda.Msamehe mpwa harudii Tena
Mimi mzima kabisa sijui Wew huko uliko



😂😂😂Nitamwambia akae Kwa utulivu watu wanatak kubeba jumla jumla nikapike michembe hukoHuku Misungwi tuko salama mpwa. Nishamsamehe ila kila nikisoma ile barua yako na jinsi anavyoendelea kujibebisha hasira zinanipanda.
Tunamalizia malizia maandalizi tunakuja rasmi mpwa. Daktari ndo atajua hajui
2. Obey the rule number one