Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,127
- 829,015
- Thread starter
- #126,841
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Juma Ligamba (45), mkazi wa Kijiji cha Kibubwa, Kata ya Butuguri wilayani Butiama mkoani Mara anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 19 ambaye ni mlemavu aliyepooza mwili mzima tangu kuzaliwa kwake.
#EastAfricaRadio
#EastAfricaRadio



