Jamaa
MZEE: sasa huyu mgeni sijui alale wap?
MKE: saa hizi ni usiku sana, akalale tu chumbani kwa Bebi, hakuna namna.
Jamaa alivyoambiwa akawaza labda huyo Bebi pengine ni mtoto mdogo anakojoa kitandani au analia usiku, asije msumbua bure..
JAMAA: wala msipate tabu mi ntalala hapa hapa kwenye kochi..
Akalala, asubuhi wanakunywa chai akaibuka mrembo matata Sana..,
BINTI: Naitwa BEBI, we mwenzangu waitwa nani?
Jamaa akapigwa bumbuwazi, almanusra ajimwagie chai..
Kwa unyonge na majuto akajibu tu, mimi naitwa Fala 😭