Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Baby napenda ukoko
Screenshot_20220719-113526.jpg
 
SENSA NA NGOSWE, "Penzi kitovu cha uzembe"

KISA CHA NGONSWE NA SENSA


MITOMINGI; nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo

MAMA_MAZOEA; Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).

MAZOEA; Hodi! Hodi!

NGOSWE; Karibu

MAZOEA; (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.

NGOSWE; Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.

MAZOEA; Nimeambiwa nifanye haraka.

NGOSWE; Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?

MAZOEA; Bee?

NGOSWE; Salama?

MAZOEA; Salama tu.

NGOSWE; Sasa ndio umekataa kukaa?

MAZOEA; (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?

NGOSWE; Bado kidogo.

MAZOEA; Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)

NGOSWE; Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. (Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?

MAZOEA; Mie?

NGOSWE; Ndio wewe hapo kisura.

MAZOEA; (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!i

Story ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe
! ! !


JIANDAE KUHESABIWA
Ngoswe alikuwa anajaribu kula kimasihara.
 
Mpogoro katoka kwao mahenge huko, kuja dar...

Kurudi ndio anawasimulia wenzie kuwa yeye ni mjanja saanna,

"kondakta kusema, ubungu, ubungu nikabanishi, njwii, mpaka manzese kumkomoa dereva"

Yaani akimaaisha konda gari ilipofika ubungo akatangaza kituo, yeye hakushuka akabana kwenye gari, kaenda kushukia manzese kwa kumkomoa dereva.

 
Back
Top Bottom