Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,839
- 7,924
Anasubir majibu ya barua yake
Anasubir majibu ya barua yake
aka pepsi big
Niliwah ibiwa 30k ktk 500k ya ada niliyopewa na mdingi ilhali pesa yote ilikua kwenye kompas moja.
🤣Kuna habari eti mzabzab kafungiwa ndani na Ashura wa tabata
Kabisa yani inabidi uwe mpoleAlaf ukikutana nae huna cha kumfanya unajikuta unakazia pin ili lengo litimie![]()

hii imenikumbusha kipindi fulani kuna madogo wa chuo walipanga nyumba ya jirani. Hawa madogo walikuwa na kile kiredio cha Bluetooth yani wakishinda geto kitapiga mziki siku nzima mpaka kero! Yani nilikuwa nikisikia "ze blutus divais iz rede tupel" nagadhibika najua wajuba washarudi huko ni mapiano na wasouth mpaka usiku mnene yani utulivu wote unapotea, nilijikuta nawachukia hawa madogo aiseee sio poa
thank God kodi iliwashinda wakahama maana mpaka nilikuwa nimepanga kodi ikiisha nihame mimi
Mchina alitokana na hii kituMbuzi katoliki a.k.a mkuu wa meza anateseka sana maana hata juu hawezi kuona.View attachment 2265907