Galip Veryl
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 2,147
- 13,463
Siyo wote bhana🙄
Aisee
🤣🤣🤣Mwizi
Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka.
Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi!
Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa:
“chumba cha UKEKETAJI WASICHANA”😊
Unaomba kuongozana na mmoja kituoni, unachomoka kirahisi sana...Ulishasikia kuliwa mdondo? Kitakachomuokoa dereva hapa ni muujiza tuuView attachment 2290533
😂😅Inaitwa kutesa kwa zamu!
😂Afu inaelekea wote wako na njaa kali!Ulishasikia kuliwa mdondo? Kitakachomuokoa dereva hapa ni muujiza tuuView attachment 2290533