Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20220711_043017_185.jpg
 
Mapya yaibuka! Kanisa la nchini S.Africa lafanya zoezi la kuwapima bikira waumini wa kike ambao bado hawajaolewa kisha kutoa vyeti kwa waliokutwa na bikira zao

Kanisa hilo linaloitwa Nazareth Baptist Church lililopo huko Durban limefanya zoezi hilo wiki hii. Zoezi limefanyika kwa waumini wa kike wenye miaka kuanzia 18 kuendelea ambao bado kuolewa.

Ambao wamekutwa na bikira zao wamepewa vyeti kuonesha pongezi. Ukicha cheti pia wamewekewa alama nyeupe utosini kuonesha usafi wa kujiweka mbali na ngono kabla ya ndoa. Ambao hawajakutwa na bikira hawajapewa vyeti hivyo vya ushindi

Vyeti vimesainiwa na mkuu wa kanisa pamoja na mtaalam aliyefanya zoezi husika

Zoezi hilo la kupima bikira hufanyika kwa mwaka Mara moja, hufanyika kila katikati ya mwaka lakini Kama mdada amepewa cheti cha kuwa bikira, mwakani cheti hicho kita-expire ikiwa atapimwa tena na kuonekana tayari hayupo kwenye kundi la mabikira kama mwanzo

Waliopewa vyeti wakiwa bikira waliondoka kwa vicheko na furaha wakati waliokosa vyeti waliondoka na minuno kama yote

#swali je walipimwa zote?
FB_IMG_1657545475363.jpg
FB_IMG_1657545471730.jpg
FB_IMG_1657545467301.jpg
 
Back
Top Bottom