Hendsamu ya nyokooKuna shida mahaliView attachment 2282298
Alikufa hiviSUMU
Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani alihisi sio wa kwake.
Ajabu ni kuwa aliporudi kutoka kazini alikuta house boy amekufa..
Alipoulizwa akang'aka:
Msiniulize amekufaje. Mie mambo ya umbea sipendi, niliondoka zangu mapemaaa kwenda kazini!!![]()

Kwani mzabzab Anasemaje?Kuna shida mahaliView attachment 2282298
Hahaha wee ni wa tall dark and handsome🤣🤣🤣🤣Looh mwanaume handsome kwa mimi hayupo kama huyo. Alaf sipendi wanaume weupe
NdiwoooHahaha wee ni wa tall dark and handsome🤣🤣🤣🤣
Kumbe mambo vice versa, wanaume wengi wanakimbilia wannawake weupe, huku wanawake wakitaka dark and handsomeNdiwooo
Rangi nyeusi imejaa mautamu.Kumbe mambo vice versa, wanaume wengi wanakimbilia wannawake weupe, huku wanawake wakitaka dark and handsome