Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Bado ni mtumishi wa umma?
Bado ni mtumishi wa umma?
Mwanasaikolojia bora kutoka mwanza habari yako
Ndio uolewe na wewe sasa....lah sivyo nawe watu watatia mimba na kusepa

hutaki kuitwa singo baba

Hahaha mwishowe nitakukula bure. Mambo ya kuitwa uncle ya nini bwanahutaki kuitwa singo baba
Halafu uitwe anko rafiki na toto langu
Maana watoto wa masingo maza wana ma anko rafiki kila kona