Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Leo sina pesa ya chakula/sina meme[emoji9]
FB_IMG_16557919266764408.jpg
 
Duh! Hatari kabisa ..masingo maza bwana tabu kweli kweli alafu wabishi hao kuolewa kama wake wa pili sijui kwa nini
[emoji3]. Baadhi akili zao wanazijua wao wenyewe

Zamani ilikuwa ni aibu kubwa binti kuzaa nyumbani bila kulewa,,,lakini sasa ni kawaida sanaa. na binti usiye na mtoto na upo kwenu watakushangaa kwanini hauna mtoto[emoji3]
 
Back
Top Bottom