Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

#HABARI Polisi nchini Kenya wamemkamata mwanaume mmoja Ndirangu Wahome katika kaunti ya Nyandarua kwa tuhuma za kuwauzia watu sambusa za nyama ya mbwa bila wao kujua
Wananchi wa eneo hilo wanasema kwa muda mrefu wamekuwa wakila vitafunwa hivyo wanavyodai vilikuwa vitamu na ladha tofauti bila kujua kuwa ndani yake sio nyama ya kawaida inayotumikaView attachment 2254493
Duh...Hatari sana
 
Mshana Jr
0465409F-1B49-47A9-A989-BD1EC6E6D20C.jpeg
 
Shimba natambua ninachopost ujue kaka.. Kuna vituko vya kutengeneza na kuna vituko genuine..! Na kuna vituko vya kutafakarisha na kujifunza Mimi huwa napenda kupost vyote
Mfano no 1
Hivi kuvaa hivi sio kituko kweli? Sasa hapa shida iko kwenye mwonekano,hivyo badala ya kuona kivazi baadhi yetu tunaangalia mwonekano na kuhamisha mawazo kwingine..

Zamani ili uone kalio ilikupasa kubinua chupi, lakini siku hizi ili uone chupi inabidi kupachua kalio. Vice versaView attachment 2254835
Sawa bro...

Samahani kama ulikwazika....

Usiniroge pulizi
 
Back
Top Bottom