Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mnyazi anaangalia watu wake
FB_IMG_16547170833440260.jpg
 
Bob Marley was once asked if there was a perfect woman.

And he replied

Who cares about perfection?

- Even the moon is not perfect, it is full of craters.

What about the sea? very beautiful, but very salty and dark in the depths.

And what about heaven? Always so infinite, that is, the most beautiful things are not perfect, they are special and every woman, every man and every human being chooses who is special in his life.

Stop trying to be "perfect." Better try to be free and live doing what you like, without trying to please others.
FB_IMG_1654740667779.jpg
 
Utakuja kuharibu uzi wako mwenyewe. Hizi zipelekwe kule zinakopaswa kwenda...

Shimba natambua ninachopost ujue kaka.. Kuna vituko vya kutengeneza na kuna vituko genuine..! Na kuna vituko vya kutafakarisha na kujifunza Mimi huwa napenda kupost vyote
Mfano no 1
Hivi kuvaa hivi sio kituko kweli? Sasa hapa shida iko kwenye mwonekano,hivyo badala ya kuona kivazi baadhi yetu tunaangalia mwonekano na kuhamisha mawazo kwingine..

Zamani ili uone kalio ilikupasa kubinua chupi, lakini siku hizi ili uone chupi inabidi kupachua kalio. Vice versaView attachment 2254835
 
Hii hapa nayo ni kituko na wala si urembo.. Huyu kavaa kigodoro ili aonekane ana tako.. Na haya ndio maisha ya mabinti wengi siku hizi
Natambua tumeshindwa kukiona kigodoro kwakuwa mawazo yetu yalitupeleka tuone vingine.
Screenshot_20220609-052124.jpg
 
Haya hapa mmeona nini? urembo wa mwanamke una sehemu tatu
1. Kichwa (nywele, macho, midomo, pua, masikio nk
2. Kifua/gumbo/nyonga nk
3. Kiuno, Makalio, miguu..nk

Wengi wamegeuka vituko kwa kutaka kufanana na fulani ama kupata shepu fulani
JamiiForums-699758183.jpg
 
Hizi picha hazikidhi vigezo vya mada ya warembo wakali worldwide kwakuwa hawa wote wamekatwa vichwa na ni ngumu kujua ni watu halisi ama ni vinyago
Kwenye ile mada kule picha nyingi warembo hupenda kuonesha sura zao kwanza kwakuwa hiyo ndio font fedi halafu makalio na mitindo ya kusimama kukaa nk!

Natumai ufafanuzi umeeleweka
 
Back
Top Bottom