Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,862
- 147,310
Nipe namba yake nimpigie,haiwezekani akupige kibutu asubuhi hata chai hatujanywa[emoji41]Nimepigwa chini. Leo hii hii laivu. Hapa nilipo naugulia maumivu yaani [emoji24][emoji24][emoji24]
Nipe namba yake nimpigie,haiwezekani akupige kibutu asubuhi hata chai hatujanywa[emoji41]Nimepigwa chini. Leo hii hii laivu. Hapa nilipo naugulia maumivu yaani [emoji24][emoji24][emoji24]
We acha tu mjukuu....Nipe namba yake nimpigie,haiwezekani akupige kibutu asubuhi hata chai hatujanywa[emoji41]
Nafanya maombi[emoji1545],katarudi hu ka bibi kangu[emoji7]We acha tu mjukuu....
Napitia wakati mgumu sana....
Nitie katika dua zako [emoji1545]
Kupigwa chini kunauma we kusikie tu [emoji24]
Halafu sasa mi bado nakapenda kweli kweli [emoji24]
Hahaha [emoji23].. Kama kweli ni kaka rafiki hayo ni matumizi mabaya ya zambiNshomile kakwama kwa Ashura. Inasemekana Ashura anatoka Tanga [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2237681
View attachment 2237668View attachment 2237670View attachment 2237674View attachment 2237677
Haya masuala wtt wanayo kweli.
[emoji1751][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafuta ya pili.