Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

.
20220514_113642.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa sii tutaishia kuongeana mileage tuu mpendwa.....dnt lose hope bwana utapata ambaye mapenzi hayataisha yaani mtazidi kupendana tuu
Sasa ndio mpaka umpate vinginevyo haiwezekan kukaa mahala na penzi limeisha. Yaan unaambiwa kabisa sikuhitaji tena utaendelea kulazimisha? Unakubali tu matokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nikikumbuka nafsi inauma halafu nacheka mwenyewe

Ahsanteni saana watu wa singida.

Nyinyi ni wakuniuzia mimi kuku mgonjwa, nikijua mzima(kwa uchangamfu wake) kumbe mmempaka pilipili kwenye kinyeo chake, kweli

Roho inaniuma thaaana
 
Back
Top Bottom