.
20220514_113642.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nikikumbuka nafsi inauma halafu nacheka mwenyewe

Ahsanteni saana watu wa singida.

Nyinyi ni wakuniuzia mimi kuku mgonjwa, nikijua mzima(kwa uchangamfu wake) kumbe mmempaka pilipili kwenye kinyeo chake, kweli

Roho inaniuma thaaana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom