Intended
Member
- Sep 24, 2018
- 64
- 88
Sasa sii tutaishia kuongeana mileage tuu mpendwa.....dnt lose hope bwana utapata ambaye mapenzi hayataisha yaani mtazidi kupendana tuuKuna kipindi mapenzi huwa yanaisha hata kama wote mlipendana sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndio mpaka umpate vinginevyo haiwezekan kukaa mahala na penzi limeisha. Yaan unaambiwa kabisa sikuhitaji tena utaendelea kulazimisha? Unakubali tu matokeo.Sasa sii tutaishia kuongeana mileage tuu mpendwa.....dnt lose hope bwana utapata ambaye mapenzi hayataisha yaani mtazidi kupendana tuu
Sasa sii bora huyo anakwambia kabisa...machizi wengine unakuta anaipelekea moto mbususu nyingine🤣🤣🤣🤣Sasa ndio mpaka umpate vinginevyo haiwezekan kukaa mahala na penzi limeisha. Yaan unaambiwa kabisa sikuhitaji tena utaendelea kulazimisha? Unakubali tu matokeo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huyu mwanamke kama vile atakujali kweli
Kuchepuka ni kawaida yenu mbona inajulikana wazi.Sasa sii bora huyo anakwambia kabisa...machizi wengine unakuta anaipelekea moto mbususu nyingine
Kila nikikumbuka nafsi inauma halafu nacheka mwenyewe
Ahsanteni saana watu wa singida.
Nyinyi ni wakuniuzia mimi kuku mgonjwa, nikijua mzima(kwa uchangamfu wake) kumbe mmempaka pilipili kwenye kinyeo chake, kweli
Roho inaniuma thaaana