Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Narudia tena: siyo kwa pisi unayoikubali. Full stop!
Na tangu lini nimekuwa bro wako? Unafikiri mi dada zangu siwajui?![]()

naomba na Mimi niwe dada Yako wa hiari jamani 
Mie sijui kitu, nimepost tuKina Irene hawana hizo tabia labda useme kina bebi na chausiku

Hiyo ndio kitu inatakiwa.
Hiyo ndio kitu inatakiwa.
Sio kilasiku kifo cha mende, mpaka lini?
Kuna
-mbwa kachoka,
-mgeni nani,
-chomoa nijambe,
......na wewe ongeza za kwako....




loooh sijui hata....anakuwa na mpango wa kufanya mapinduzi ya kijeshi!Anakupa mpaka vitu adimu wallahi![]()