Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Unamezea kiaina tuKukataliwa kunauma - hasa kama pisi umeielewa kiaina...![]()
Siku kuu inaanza leo bwanaNitakujaaa, sikukuu si bado?. Ikifika we nishtue tu.
Siyo kwa pisi ambayo unaikubali aisee....halafu uone inapigwa na masela wa kawaida tu mtaani dah!Unamezea kiaina tu
Selfika hata hapa mzabzab ajiandae na sikukuu vizuriau kwasbb sijawahi kuselfika kule



Hahahah mbona unaiwahisha hivyo?Siku kuu inaanza leo bwana
Unatafuta pisi ingine bro.Siyo kwa pisi ambayo unaikubali aisee....halafu uone inapigwa na masela wa kawaida tu mtaani dah!
Selfika hata hapa mzabzab ajiandae na sikukuu vizuri![]()

huku siyo sehemu yake. Hapa tuwekeeni vituko tucheke basi


Narudia tena: siyo kwa pisi unayoikubali. Full stop!Unatafuta pisi ingine bro.




