Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Eeh mie ukiwa wangu nakuruhusu ukaonje huko nje uniletee maufundi
Ulivimbewa futari
Wewe sio mchoyoEeh mie ukiwa wangu nakuruhusu ukaonje huko nje uniletee maufundi

Kwa nini tuzibiane kupeana utamu bwana
Nikikojoa sehemu lazima niteme mate ile sehemu

hii kama siafu ni kiboko... NimechekaWanawake wanatuiga sana...yaani hawa ata uwaambie wazuri bado hawajiamin