Nakuandalia caton ya Redbull najua huchomoi!![]()



hapo sichomoi nakuambia,,,babu asijue maana alishanikataza


Achana na babu yako, kila siku nakuambia yule mzee nuksi tu!



Babu yangu kakufanyajeAchana na babu yako, kila siku nakuambia yule mzee nuksi tu!![]()



Umenitamanisha sana dah ,sema umesahau pilipili
Shakhalakha!Achana na babu yako, kila siku nakuambia yule mzee nuksi tu!![]()






What?







Maliza kwanza mfungo




Huyo mtani wangu ujueWe jifanye tu![]()

Nina bifu na wewe ni ujio wa Yesu Kristu tu ndo utakuokoa dadekiHuyo mtani wangu ujue![]()


