Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20220304-WA0050.jpg
 
WASHTAKIWA 91 WAGOMA KUDHAMINIWA

#HABARI Katika hali isiyokuwa ya kawaida, washtakiwa 91 wamegoma kudhaminiwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza kwa madai kwamba hawako tayari kumuacha mchungaji wao anaejulikana kwa jina maarufu la Zumaridi kupelekwa gerezani peke yake.

Washtakiwa hao wanakabiliwa na makosa ya shambulio la mwili pamoja na kuzuia polisi kufanya kazi yao, huku mchungaji wao akikabiliwa na kosa la kusafirisha binadamu, kosa ambalo lilimsababishia kunyimwa dhamana.

Watu hao 91 dhamana zao zilikuwa wazi, lakini walikataa ndugu zao wasiwadhamini badala yake wakadai kwamba wako tayari kwenda na mchungaji wao huko gerezani, hawawezi kumuacha peke yake.
FB_IMG_1646418713489.jpg
 
Ni kweli kabisa mkuu, tunatamani watoto wetu waje kuishi maisha mazuri lakini ukijiangalia wewe mwenyewe mzazi tu huelewei
achu tu yani tuliwalaumu sana wazazi wetu kwanini hatuna mawe kama wakina ninii,lakini kumbe hatukujua kuwa hii safari ina mambo mengi sana na kupata au kukosa yote mipango ya mola, sasa tunauishi ule msemo usemao mwanangu kua uyaone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom