Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20220304-213206.jpg
 
achu tu yani tuliwalaumu sana wazazi wetu kwanini hatuna mawe kama wakina ninii,lakini kumbe hatukujua kuwa hii safari ina mambo mengi sana na kupata au kukosa yote mipango ya mola, sasa tunauishi ule msemo usemao mwanangu kua uyaone

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuendelee kuhangaika kwa ajili ya kesho yetu mkuu
 
Back
Top Bottom