Tuendelee kuhangaika kwa ajili ya kesho yetu mkuuachu tu yani tuliwalaumu sana wazazi wetu kwanini hatuna mawe kama wakina ninii,lakini kumbe hatukujua kuwa hii safari ina mambo mengi sana na kupata au kukosa yote mipango ya mola, sasa tunauishi ule msemo usemao mwanangu kua uyaone![]()
Sent using Jamii Forums mobile app

Daah..,

kikubwa uhai lakini
mimi kabisaKikubwa uhai