Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

16450792238120.jpg
 
Kizazi cha Messi hamuijui hii,
Mwaka 1974 Zaire ambayo ni congo ya sasa wakati huo ikiongozwa na raisi dikiteta Mobeto seseko kuku ilipeleka wachawi 40 kwenye michuano ya kombe la gunia huko ujeruman magharibi ili iweze kutwaa kombe hilo lakin badala yake mechi ya ufunguz dhid ya ujeruman ilipigwa 9-0 mechi ya pili dhid ya brazil ikapigwa 13-0 na mechi ya mwisho ikapigwa 12-1 na ubeligiji.View attachment 2121720
Sio kweli! Haikufungwa goli 13 wala 12
 
Back
Top Bottom