finacial services inabid aje asome huu ujumbe
Story ni kwamba wachezaji walikasirishwa na kitendo cha kuwathamini waganga kuliko wao wachezajiKizazi cha Messi hamuijui hii,
Mwaka 1974 Zaire ambayo ni congo ya sasa wakati huo ikiongozwa na raisi dikiteta Mobeto seseko kuku ilipeleka wachawi 40 kwenye michuano ya kombe la gunia huko ujeruman magharibi ili iweze kutwaa kombe hilo lakin badala yake mechi ya ufunguz dhid ya ujeruman ilipigwa 9-0 mechi ya pili dhid ya brazil ikapigwa 13-0 na mechi ya mwisho ikapigwa 12-1 na ubeligiji.View attachment 2121720
Mobutu atakuwa aliwapa adhabu gani?! Maana naamini hakuwaacha hivihiviKizazi cha Messi hamuijui hii,
Mwaka 1974 Zaire ambayo ni congo ya sasa wakati huo ikiongozwa na raisi dikiteta Mobeto seseko kuku ilipeleka wachawi 40 kwenye michuano ya kombe la gunia huko ujeruman magharibi ili iweze kutwaa kombe hilo lakin badala yake mechi ya ufunguz dhid ya ujeruman ilipigwa 9-0 mechi ya pili dhid ya brazil ikapigwa 13-0 na mechi ya mwisho ikapigwa 12-1 na ubeligiji.View attachment 2121720


