moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
Tunagharamika sana alafu bado tena ujitoe jasho jingi la nini. Wee piga vitatu vyako vya hamu inatosha. Akitaka kuridhika atapata tuu mmoja anayemridhisha kati ya sie aliyetupanga.







Tunagharamika sana alafu bado tena ujitoe jasho jingi la nini. Wee piga vitatu vyako vya hamu inatosha. Akitaka kuridhika atapata tuu mmoja anayemridhisha kati ya sie aliyetupanga.







Tukutane feb 14Na ss hatuna bae tunajibu wapi!?
LooohAkili yangu baada ya kusoma katoa kichwa nje, ikawaza kichwa huwa hakitoki hadi kione mambo ya kuamsha kichwa....
Na kikishaamka kukilaza labda ubane na mkanda, kama amevaa trakisuti kila saa kitakuwa kinagonga gonga kuangalia wapi kuna nafasi kitoke nje
...
Akili za Kasie....

Loooh![]()
Mbona anafanana na Barnanaba wa Bongofleva?
Babu take huyoMbona anafanana na Barnanaba wa Bongofleva?
Aisee,kumbe.Babu take huyo
HaiwezekaniSubiri utakuja kuona hiyo![]()
Hata kwa kumwangalia tu he is not mentally stable. Kuna kitu hakiko sawa!


lakini mademu wa Kichaga ndo wanaongoza kuolewa tena Wasukuma ndo kama wamerogelezewa....