BlueIvy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 1,038
- 2,898
Mmehamia kwetu mafesti boniHapo inabidi usome kwa bidii mpaka uwe profesa!
View attachment 2109581
! Teh teh tehNdo utajua hujui!
View attachment 2109587






kama hukuwah kuzmia, siku hiyo hakika utazimia iwe kwa kupenda au kwa kushurutshwa na ubongo 




Akili za Kasie....Akili yangu baada ya kusoma katoa kichwa nje, ikawaza kichwa huwa hakitoki hadi kione mambo ya kuamsha kichwa....
Na kikishaamka kukilaza labda ubane na mkanda, kama amevaa trakisuti kila saa kitakuwa kinagonga gonga kuangalia wapi kuna nafasi kitoke nje
...
Akili za Kasie....

Ahsantee na iwe kwako pia




wastshe hilo zoez walee watoto 

Hahahahahaha! S kweli mnataka kututangazia sfa mbaya watu wafupi......



Mmmnh! Hata kama asee, hapana miaka 22
looh! Mbona kakomaa hiv ama n mazoez teh teh tehNina uhakika wa asilimia zote mia,aliyeandika haya maneno ni mwanamke mwenye hasira kali!!!!



Kumbe nami nishakuwa muhenga
Watakaofika 2025 wakiwa hai watapaswa kufanya tafrika ya kumshukuru Mungu kkufika salamaBado waziri na IGP wako ofisiniView attachment 2109787