Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Kuuza risasi
Aliyemrubuni wema sepenga Mungu anamuona
Ndoa ya kwanza kuvunjika ilipaswa liwe funzo kwake. Tunapenda kuwashurutisha watu wafanye vile ambavyo sio kwmba hatuwez bali vimetushinda.Na ndio maana inabid kukaa nae chini aelezee upande hasi wa ndoa unaosababisha utengano na namna ya kukabiliana nao![]()
Siielewagi hii picha wallah