Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Nguvu ya mchepuko

Ni Zuma bila shaka
Kama ndoa nzuri kwa nini yeye kakimbiaAna haki ya kukuhubiria kwa sabab ana uzoefu wa ndoa mbili
Ndio nimemuacha na ukungwi wakemakungwi wengi ni wanawake walioachika.
Na ndio maana inabid kukaa nae chini aelezee upande hasi wa ndoa unaosababisha utengano na namna ya kukabiliana naoKama ndoa nzuri kwa nini yeye kakimbia
Hii kwa sie vipipa haitufai kabisa
Kila ndoa ina mapito yake kwa nini nikariri mapito ya ndoa ya mtu mwingine?Na ndio maana inabid kukaa nae chini aelezee upande hasi wa ndoa unaosababisha utengano na namna ya kukabiliana nao![]()
Unapopata semina elekez inakujengea kujiamin hata km utakutana na mazingira tofaut.Kila ndoa ina mapito yake kwa nini nikariri mapito ya ndoa ya mtu mwingine?
Aah we hebu niache mimiUnapopata semina elekez inakujengea kujiamin hata km utakutana na mazingira tofaut.
Mpaka hapo Anko wangu umegomaKila ndoa ina mapito yake kwa nini nikariri mapito ya ndoa ya mtu mwingine?



Na kwa nin nikuache ilhali ndio kwaaanza naanzaAah we hebu niache mimi