

Imani haba. Huyu mbingu atazisikia tu kwenye tivi!
Ndugai anasemaje?Wagogo mna nini nyie!?View attachment 2098937
Wanasema siyo yeye Mwananchi wamechanganya madesa

Wenzio walijengewa mapiramidi kabisa wakaondoka na kilo maelfu za dhahabu pamoja na wanyama na watumishi wao wa kwenda kuwahangaikia huko walikoenda. Yote ni kujilisha upepo tu ndugu Chameleon. Tengeneza akhera yako sasa ukiwa hai. Mshike sana Mungu. Ipokee rehema yake. Tenda mema kwa binadamu wenzako bila kujali hali zao na saidia wenye shida kwa kadri ya uwezo wako...hata mwili wako ukitupwa porini huko uliwe na wanyama, utakuwa na heri ya milele!
Aaa wapi! Propaganda za ma feminists hizi usizikubali. Malkia Nzinga Mbandi na Cleopatra ndo isiwe eti wanawake walikuwa watawala sehemu nyingi. Si kweli!
Na mwamba alikuwa anawaburuza kishenzi. He loved them dearly!
Mwenye mpira ni mfalme. Cho chote atakachoamua ndicho kitakachofanyika.