Ndio zako?????
Tunatumia pesa ili tupate pesa lkn tunachokipata tofauti na matarajio
Mwongozo mzuri.Wenzio walijengewa mapiramidi kabisa wakaondoka na kilo maelfu za dhahabu pamoja na wanyama na watumishi wao wa kwenda kuwahangaikia huko walikoenda. Yote ni kujilisha upepo tu ndugu Chameleon. Tengeneza akhera yako sasa ukiwa hai. Mshike sana Mungu. Ipokee rehema yake. Tenda mema kwa binadamu wenzako bila kujali hali zao na saidia wenye shida kwa kadri ya uwezo wako...hata mwili wako ukitupwa porini huko uliwe na wanyama, utakuwa na heri ya milele!
Alikuwa rais mdogo.
Labda kama kaburi la huyu mwamba waliliwekea ulinzi 24/7. Dhahabu hiyo wahuni wasingeiachia aisee....Mwongozo mzuri.
Wengi wetu tutakuja kukumbuka haya wakati tunaingizwa kaburini.
Mtu anaishi Duniani maisha ya kibinafsi, anazikwa kibinafsi kisa ana hela.
Unazikwa na Mali za mamilioni wakati jirani zako wanaishi kwenye umasikini wa kutisha.View attachment 2099067View attachment 2099070

Inawauma lakini ankaliKwa huu ushindi mliopata baada miaka 4.
Nimeanza form four mpaka nimemaliza sijaona mkibebakombe, kazi yenu kubeba viongozi wenu.
View attachment 2098927



100%





