Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20220129-WA0130.jpg
 
Wenzio walijengewa mapiramidi kabisa wakaondoka na kilo maelfu za dhahabu pamoja na wanyama na watumishi wao wa kwenda kuwahangaikia huko walikoenda. Yote ni kujilisha upepo tu ndugu Chameleon. Tengeneza akhera yako sasa ukiwa hai. Mshike sana Mungu. Ipokee rehema yake. Tenda mema kwa binadamu wenzako bila kujali hali zao na saidia wenye shida kwa kadri ya uwezo wako...hata mwili wako ukitupwa porini huko uliwe na wanyama, utakuwa na heri ya milele!
Mwongozo mzuri.
Wengi wetu tutakuja kukumbuka haya wakati tunaingizwa kaburini.
Mtu anaishi Duniani maisha ya kibinafsi, anazikwa kibinafsi kisa ana hela.
Unazikwa na Mali za mamilioni wakati jirani zako wanaishi kwenye umasikini wa kutisha.
Gulf-1300327239.jpg
JamiiForums2123468036.jpg
 
Mwongozo mzuri.
Wengi wetu tutakuja kukumbuka haya wakati tunaingizwa kaburini.
Mtu anaishi Duniani maisha ya kibinafsi, anazikwa kibinafsi kisa ana hela.
Unazikwa na Mali za mamilioni wakati jirani zako wanaishi kwenye umasikini wa kutisha.View attachment 2099067View attachment 2099070
Labda kama kaburi la huyu mwamba waliliwekea ulinzi 24/7. Dhahabu hiyo wahuni wasingeiachia aisee....

Ubinafsi tu na labda ulimbukeni. Ukishakufa huna thamani tena hata ungezikwaje bado ni chakula cha funza tu


View attachment 2099139
 
Back
Top Bottom