BlueIvy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 1,038
- 2,898
Tena unakuta mtu mwnyewe daaah! Yuko kama boflo hahahhhahahhaha hi dunia hiii
Tena unakuta mtu mwnyewe daaah! Yuko kama boflo hahahhhahahhaha hi dunia hiii
Mbona kama wamelala usingizi
Ndio wamejisahau wakalala hapo watu wakawafotoaMbona kama wamelala usingizi
Huyu mama/bnt napenda mwli wake [emoji7][emoji7][emoji7]Naam! Yutong foreva!
View attachment 2091512
At n dhmbi, mmnh! Na itakuja ifke 20Ilikuwaje tukatoka miaka 900+ mpaka 70 tu? Ni DNA ilibadilishwa au nini? [emoji15]
View attachment 2091531
AhhahahahahhUmeakumbusha mbali hili neno yewomii
Ahahhhahah! Kwamba kuish kwng n yapasa umch MunguHuenda ndiyo mabadiliko ya tabia nchi ya wakati huo.
Mvulana wakati huo alikuwa ana miaka 500,
Mtoto ni miaka 1-300[emoji23][emoji23].
Mzee kikongwe miaka 900-2000.
Watu walifaidi dunia aisee.
Na utakuta mtu ameishi miaka yote hiyo lakini hakuwahi kumcha mungu.
[emoji26][emoji26] inaskitsha mnooo
Hahahhahaaahhhahahah! Nataka kujua na hali za hao wadada waliokuwa wakilalama wasiumiziwe
Hahaahaahah[emoji851]
Tuwatu twa ovyooo [emoji57]
Hahahahhah! Iv waptrck iliendaga wap??
Hahahahaahhah! Kutoka kwny kioo had kweny kasmu ka buku hahahahahha
Miaka 11 [emoji848], mbona hana tumanyonyo[emoji15]. Miaka 9 sku hiz wanakuwa wamevnja ungo, daaah!
Et [emoji17][emoji37][emoji2957]