Mkuu wa nchi karuhusu[emoji16][emoji16][emoji16]
Haya makusudi mazima aisee
Mkuu hii picha ni ya mwalimu wangu na hapo ni shule niliosomea o- level tulikuwa tunamuita Jina la utani kibenju kwa kuwa Jino lake limekatika.
[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1224749
Wale ambao hatunaga imani na public toilet tunafanyaga hivi
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]duuu wapi iyoMkuu hii picha ni ya mwalimu wangu na hapo ni shule niliosomea o- level tulikuwa tunamuita Jina la utani kibenju kwa kuwa Jino lake limekatika.
Anafundisha geography lakini Kashika abort ya physics [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Huo mzigo wa fimbo ndo zilikuwa Zake kulete mizigo ofisin kama fimbo zimeisha.
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]My new iPhone 11[emoji3][emoji2][emoji1]View attachment 1224855
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji87][emoji87][emoji87][emoji108][emoji108]Nimepata friend suggestion Facebook [emoji2][emoji2][emoji1]View attachment 1225110
Hiyo ni nguruka secondary iliopo nguruka wilaya ya uvinza - kigoma.[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]duuu wapi iyo