Wanajichanganya wenyewe kwa wenyewe, mmoja inaonekana katumia sheria mwingine katumia wadhifa
Only once, others born with strong mind which interpret anything faster when they see it for the first time, I'm the one of them.Eko umepatia, icheki na hiiView attachment 1223792
Rudia wimbo wa African stars (Twanga pepeta) - Kisa cha Mpemba.
Kama wewe ni mmoja wao basi tusaidie hapo tujue ni jicho au mdomo au vyoteOnly once, others born with strong mind which interpret anything faster when they see it for the first time, I'm the one of them.


Mzee baba huo ni mdomo sema kwa juu umechorwa kama jicho.Kama wewe ni mmoja wao basi tusaidie hapo tujue ni jicho au mdomo au vyote![]()
Iangalie tena kwa makini kuanzia juu.na kushuka. Utaona mwanamke yupo mtupu na sehemu zake za chini zinaonekana juu ya yule mwanamke aliyevaa nguo.Watu watatu wamesimama wanapunga mikono
Nimeona hivyo lakini picha haiko hivyo ulivyoona wewe, iangalie vizuri mara mbili mbili, mara nyingi picha kama hizi zinakuteka kule mawazo/mtizamo wako unapouelekeza!Iangalie tena kwa makini kuanzia juu.na kushuka. Utaona mwanamke yupo mtupu na sehemu zake za chini zinaonekana juu ya yule mwanamke aliyevaa nguo.
Aisee bonge la jibu,,,,soon ntakutag kwenye code nyingineMzee baba huo ni mdomo sema kwa juu umechorwa kama jicho.
Mdomo ni rahisi kuuchora hivyo ila sio jicho kulichora kama mdomo.
Duh! Bila ya shaka hapo atakuwa anapima ili amtengenezee Bikini.