Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379









Kwani unapenda wali kuliko ugali?
Mimi binafsi naweza kukata hata mwezi bila kula wali lakini ugali naweza kula kila siku.Kwani unapenda wali kuliko ugali?
Tupo mkuuWakuu mpoo??
Nilitaka nishangae msukuma na wali wapi na wapiMimi binafsi naweza kukata hata mwezi bila kula wali lakini ugali naweza kula kila siku.
Pengine enzi za utoto. Siku mkijua kuna beche na nyama mnakuwa na mchecheto. Halafu urudi ukute ugali dah!
Kwa nini uko macho usiku wote huu? Usingizi umekugomea ama?Nilitaka nishangae msukuma na wali wapi na wapi
Hawa ndiyo wanaoitwa wenye CCM yao.Joka Makengeza in da hausi!
View attachment 2078797
Liombee liendelee kuishiNgumu sana. Ndo maana njia ile iendayo uzimani ni nyembamba na waionao ni wachache!
Ndiyo sababu pia tunaamini kuwa wokovu ni kwa neema tu na siyo matendo yetu!
Eti jitu lililonichukulia demu wangu mwenye msambwanda wakati sina kitu leo ndo nilipende na kuliombea. We ulisikia wapi?![]()


Watoto wetu nao ni watanzania.