Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20220107_200828.jpg
 
Mimi ni mbishi kutumia net..unajua wale wabishi? Ila safari hii nimenawa mikono nimeenda kutafuta net nikiwa na akili zangu timamu bila hata kushawishiwa na mtu. Sio kwa mbu hawa aisee

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Ulikuwa mbishi maana ulikuwa haujakamatika. Mi mwenyewe neti sipendi ila mbu sijui wana mpango gani na damu yangu, wanaipenda mnooo. Hivyo sina namna.
 
Back
Top Bottom