Eeh hiyo hiyo. Yako orijino si ndio hiyo umeweka au ipo nyingine?Hii ya Mgalilaya? Nilikuwa nacheza tu jana. Halafu ile yangu orijino picha siioni. Tangu jana natafuta dah!
KuinamishwaUvi-CCM wamekupigania sana mama dhidi ya Mgalilaya. Wakumbuke tu kwenye hivyo vinafasi na usiwanange na Kiswahili chako fasaha hichi!
View attachment 2072095
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi ni mbishi kutumia net..unajua wale wabishi? Ila safari hii nimenawa mikono nimeenda kutafuta net nikiwa na akili zangu timamu bila hata kushawishiwa na mtu. Sio kwa mbu hawa aisee
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mimi nikilala kwenye net huwa naona kama nimebanwa sipumui vizuri ila safari hii nimepatikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulikuwa mbishi maana ulikuwa haujakamatika. Mi mwenyewe neti sipendi ila mbu sijui wana mpango gani na damu yangu, wanaipenda mnooo. Hivyo sina namna.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nikilala kwenye net huwa naona kama nimebanwa sipumui vizuri ila safari hii nimepatikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi ni mbishi kutumia net..unajua wale wabishi? Ila safari hii nimenawa mikono nimeenda kutafuta net nikiwa na akili zangu timamu bila hata kushawishiwa na mtu. Sio kwa mbu hawa aisee
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
@Khantwe Habun mna sidiria za mikono mirefu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2072531
Usiue (imeandikwa!)
Huwa unavaa night dress/pajamas au na zenyewe huwa zinakubana? [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Mimi nikilala kwenye net huwa naona kama nimebanwa sipumui vizuri ila safari hii nimepatikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app