moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,132
- 770,201
Malaika alienaswa ndo huy mwenye Raba![]()
Malaika alienaswa ndo huy mwenye Raba![]()
Sasa mama unataka wakale polisi![]()
HahahahaUvi-CCM wamekupigania sana mama dhidi ya Mgalilaya. Wakumbuke tu kwenye hivyo vinafasi na usiwanange na Kiswahili chako fasaha hichi!
View attachment 2072095


















Huyu naye anapigania teuzi kama ilivyokuwa zama za JK.


Yaani unaweza ukashangaa asubuhi imekufikia kisa tu kufukuza mbu



weka neti.
Malaika ana raba kali
Mimi ni mbishi kutumia net..unajua wale wabishi? Ila safari hii nimenawa mikono nimeenda kutafuta net nikiwa na akili zangu timamu bila hata kushawishiwa na mtu. Sio kwa mbu hawa aiseeweka neti.