Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,346
- 7,169
Kwa hiyo ndio tutaona ulimwengu ulitokeaje?Darubini ya kisasa ilitumwa anga za mbali, kwa jina James Webb!
Vile sifa zake zilivyo kama ikifika salama eneo husika na kuanza kufanya kazi kwa ukamilifu, naamini kabisa watu wa dini watarekebisha baadhi ya vifungu kwenye maandiko jinsi ulimwengu ulivyotokea, James Webb anaenda kuwa acha uchi.View attachment 2060890View attachment 2060891View attachment 2060893View attachment 2060894
MUNGU ana nafasi kubwa sana katika uumbaji, sayansi inatafiti kazi za MUNGU na kuzienlight, Kitu kipya kitakuwa kwa wanadamu tu lakini hatutaona Ulimwengu uliumbwaje siku ile.





