Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_1639864352675.jpg
 
Kuna mtu kachafukwa huku

Hakuna watu washenzi na takataka tena wapuuzi wakiwa wamejaa upumbavu kama wanaojiita #Manabii. Wengi wao ni waongo na matapeli na wanatumia #NGUVU_ZA_GIZA, Hawapo kwa ajili ya kuwasaidia bali wamekuwa #WANYANG_ANYI WAKUBWA na kufilisi watu..
Hawa manabii ni wajinga mno, wanatumia neno la Mungu kuwaumiza watu, huku Shetani ndiyo misingi yao.

Hosea 6:4
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.

Manabii na maaskofu wa leo wengi wao ni #Utopolo na ni #Wezi.
Manabii au mitume gani wapo mijini tu vijijini hawapo?
Tatizo letu linaanzia pale tunapoenda kwenye nyumba za Ibada kwa sababu ya kutafuta ustawi hapa Duniani.
Tunaenda kwenye nyumba zao ili kusaka utajiri, madaraka nk.
Hatufikiri sana kuhusu baada ya kifo.
Leo imefika mahali hata Mwenyezi Mungu anapotuletea mitihani kwenye familia zetu imani yetu tunaielekeza kwenye ulozi.

Katika mazingira kama hayo ni rahisi sana kutekwa na shetani.
 
Back
Top Bottom