Ila utakua umeelewa.Shosti kama umetumwa hapa umenoa dada. Ikikuuma meza wembe kisha kamwambie bwana ako picha hizi sio mali zake pole weee
Ila utakua umeelewa.
Hapana bana sio mimi, mimi niko zangu iringa saizi we mwenyewe unaonaView attachment 1211447
Watoto mara nyingi huwa wanatumika kuunganisha familia. Unakuta mtu mmeshindana na anaamua kusepa kwao.Hahaha hujaelewa hiyo code et
Hapo jamaa aligombana na mkewe sasa mkewe amerudi kwao baada ya muda ndio huyo mwanamke amemtumia hiyo picha mumewe
Sasa hiyo picha ukiingalia lengo la demu lilikua ni kumtamanisha mume wake kua hajamiss mgegedo na ndio maana amekaa pozi lenye kuonesha chura ikiwa katika hali ya kimtego sasa yeye hakutaka kusema direct akazuga kua hujammis mwanao
Hahahaa ndio maana bibie kamtumia mtoto kama chamboWatoto mara nyingi huwa wanatumika kuunganisha familia. Unakuta mtu mmeshindana na anaamua kusepa kwao.
Wiki tu unakuta anakuja anajifanya amekuja kusalimia mtoto wakati kila siku wanaonana akitoka shule.
Au labda mmeshindana akaenda kwao, yale maswali ya mtoto yanakufanya mmalize ugomvi. Hoo, mama yuko wapi! Anarudi lini? Kwani alifanyaje? Mbona ulisema anarudi leo!
AiseeeMbozi hiyo mboga inaitwa Jojina
Dada chokonoa ulambe