moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
AnkoSawa
AnkoSawa
AbeeAnko
Wasukuma wengi tumeoa Wachaga na Wanyaki. Mimi mwenyewe niko mbioni kuvuta Mnyaki. Nadhani misambwanda na weupe vinatuzuzuaKumbe umeoa dada yangu? Teh wanyaki ikabidi wawe wapole tu. Mungu awatunze






Huo ndiyo uanaume sasa. Ukizubaa wanakubambikiza makorokocho kibao. Mimi niko napambana nao hapa...nawalia timing nimshone mimba binti yao nione kama hawatapunguza beiHao wanyakyusa walituandikia vitu kibao ika waliishia kula m moja na nusu na deni wanadai mpaka leo na mtoto wao nimempiga watoto watatu![]()






Dada yetu keshatemwa tayari?Ilikua ngum Sana eeeennn

Walikua na adabu. Kumbe Ni kukosa intaneti





Ushirikina wa kipuuzi.


