Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20211214-033059~2.jpg
 
wanapiga showsho ya kibabe mkuu
Oooh kumbe...

Basi hakikisha umejikinga vyema kama unataka tu kufaidi show lakini si matokeo ya shoo [emoji16][emoji16][emoji16]

Hivi Kingsman (ambaye siyo jobless) anayajua haya? Yaani umenifanya mpaka nitamani kuwa jobless. Ushindwe mkuu [emoji16][emoji122][emoji16]
 
Oooh kumbe...

Basi hakikisha umejikinga vyema kama unataka tu kufaidi show lakini si matokeo ya shoo [emoji16][emoji16][emoji16]

Hivi Kingsman (ambaye siyo jobless) anayajua haya? Yaani umenifanya mpaka nitamani kuwa jobless. Ushindwe mkuu [emoji16][emoji122][emoji16]
yeye sio jobless kwa jamii ila ni jobless kwangu mzee wa showsho hanaga utani kwenye sekta hiyo[emoji1787][emoji1787]karibu kwenye ujobless
 
This is serious hasa ukizingatia kuwa utafiti huu umeendeshwa na FDA yenyewe. Kuna matumaini makubwa kwamba pengine Alzheimer itapata dawa...ugonjwa wa hovyo unaomfanya mtu asahau kila kitu na hata matendo ya kawaida kama kula na kujisaidia hawezi tena. It will be a significant medical breakthrough!
He he hee!!! Wagonjwa wakikutana sasa.
 
Utatoboa tu mama usiwe na wasiwasi. Endelea kuuminya upinzani hivyo hivyo na hakikisha mabilioni hayo unayokopa yanawafikia wananchi wa chini...na uwe mkali kidogo siyo mipasho tu...Ikishindikana goli la mkono la yule "mhuni" litumike. 2025 na 2030 utatoboa tu...Cha muhimu tu Molla Akuweke hai [emoji1545][emoji1545][emoji1545]View attachment 2043251
Huo mstari wa mwisho
 
Back
Top Bottom