Na inazidi kushangaza. Utafiti mkubwa umeonyesha kuwa pia ni kinga nzuri ya ugonjwa mbaya wa Alzheimer....
Kesho nawahi kununua dozi ya siku 31Na inazidi kushangaza. Utafiti mkubwa umeonyesha kuwa pia ni kinga nzuri ya ugonjwa mbaya wa Alzheimer....
View attachment 2043242View attachment 2043243
Bila shaka Amina Chifupa na The Departed hatawakosekana kwenye hiyo orodha yake



This is serious hasa ukizingatia kuwa utafiti huu umeendeshwa na FDA yenyewe. Kuna matumaini makubwa kwamba pengine Alzheimer itapata dawa...ugonjwa wa hovyo unaomfanya mtu asahau kila kitu na hata matendo ya kawaida kama kula na kujisaidia hawezi tena. It will be a significant medical breakthrough!Kesho nawahi kununua dozi ya siku 31
Hapa sijaelewa!
Hivi mwenezi mstaafu ni mbahiri au anarudisha milioni 10 kati ya milioni 12 anazopokea kama mbunge ili kudumisha uzalendo?
"Wahuni siyo watu"View attachment 2043027



Ma CCM yanapapurana waziwazi mpaka raha yaani. Sema Wapinzani nao wamebanwa hawafurukuti wamebebeshwa ugaidi wengine wako Ubelgiji na Canada wamebakia tu kubwabwaja wakiwa mbali bila madhara yo yote....Kigogo anena...View attachment 2042821
Ostaadhi...kanyaga twende!Neno moja kwake!View attachment 2042640
...



