




Ameshamuachisha kabisa au ndio atamuachisha usiku huo? Akigoma kuacha je? Maana hivi viumbe vina visa kama baba zao





Siwezj kuwatetea wasukumaSijawahi kukuona ukitutetea Wasukuma tukitaniwa. Kwa nini hawa unawatetea?

Niliwahi kujaribu hii kitu, homa sijui ikitokea wapi?. Hii kitu sio pia kabisa.
Umpate Mzanzibari unataka kugundua nini?Kumbe
Nimpate mzanzibar basi![]()