Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,974
- 8,115
Wakati mwingine sheria zinapindishwa kwa maslahi ya umma.Kwanini isiwe mnada wa wazi sasa


Gwajima alikuwa na huo mpangoWakati mwingine sheria zinapindishwa kwa maslahi ya umma.
By the way nani atanunua!?
Na atapitisha kwenye reli ipi!?
Sent using Jamii Forums mobile app


Yule zilikua mbwembwe tu. Kwani unamsikia tena!!?Gwajima alikuwa na huo mpango![]()
Seriously naamini kuna kitu kafanywa simsikii tena hata minong'onoYule zilikua mbwembwe tu. Kwani unamsikia tena!!?
Alishatekenywa mbavuni,akajua serikali ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app