Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Mjukuu unaniachaga wapi?"Kati ya watu wanaokula raha hapa duniani mimi ni mojawapo"...
Dunia hii we acha tu....
Tuishi kwa upendo. Tutende haki na tusionee wenzetu hata kama tukiwa na madaraka makubwa na pesa kiasi gani
View attachment 2025442
Asante kwa kunitetea mkuu. Nimeamua kuhamia kwa tuvimbaumbau twenye maumbo ya hivi. Labda nitapumzishwa na zali za mayutong
View attachment 2025426




Dar ni hakufahi kabisaAkali hapa hakuna dogo.
Leo hapa imenyesha mvua kidogo tu lakini mafuriko tayari.
Ndiyo maana tunahurumiwaView attachment 2025428
,mnakupendea nini?
Tulia. Yuko Immigration anashughulikia visa za kwenda Birmingham America
Ankali Nyumbani ni nyumbani, hata kama kichakani


Karibu kwetu simiyuAnkali Nyumbani ni nyumbani, hata kama kichakani![]()

Ukishiba dona na maharage utawasumbua sana wenzako.
Simiyu !!?

Ankali shepu ya kisukuma ipoje?Simiyu !!?
Mbona huna shepu ya kisukuma ankali![]()